kazilo
kazilo @kazilo3 ·
Replying to @francismtey
@francismtey Neno Mungu ni Devine title ambayo inawakilisha uwezo fulani usio wa kawaida, na ndio maana anamajina mengi kulingana na uwezo fulani aliouonyesha either kuwasaidia watu au kutenda maajabu..huu uwezo Malaika pia wanao na shetani anao kinachotofautisha ni kwamba who is powerful.
1
136
Onesmo Joel Mwandemele
Onesmo Joel Mwandemele @OJMwandemele ·
Shida ya afrika kusini sio wageni ambao wapo kwenye nchi yako. Shida in mfumo uliojemgwa usio na usawa unaonyima fursa za kiuchumi kwa watu masikini wengi wakiwa watu weusi. Suhuhisho ni kuindoa huu mfumo unaonufaisha mabazazi
knick knick @Knick_RSA ·
Nhlanhla lux Bringing Hypocrites to book on the Matter of Illegal Foreigners. South Africa 🇿🇦 is boiling and this will have serious ConsequencetV
40
Bixen
Bixen @heisbixen ·
Jambo moja ninalopenda kuhusu kusafiri ni kwamba inavunja udanganyifu kwamba maisha yako ya sasa ndiyo chaguo pekee linalowezekana. Inakufunulia kwamba ulimwengu ni mpana kuliko utaratibu wako, kwamba kuna ukweli usio na mwisho unaojitokeza kote ambao hujawahi hata kufikiria.
234
JGRAPHİC_TZ🇹🇿
JGRAPHİC_TZ🇹🇿 @JackxonP ·
Replying to @C19009Kahungo
@C19009Kahungo @Elsukay0 kaseja huyo bado hawez fikia kumbuka ndio kipa bora na hakuna kwa ligi yetu hata mafanikio bado hao kaseja walikua ila kina vitu diarra atawazidi sana na atabakia kuwa bora huo ndio ukweli usio pingika kwa mtu wa football
11
Jambo TV
Jambo TV @Jambotv_ ·
VIDEO: Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo amesema kuna faida nyingi za kuunganishwa kwa taasisi za serikali zinazofanya kazi zinazofanana ikiwamo kuondoa urasimu usio na tija na mwingiliano wa majukumu katika nyanja ya udhibiti nchini Tanzania. Akizungumza leo, Machi 27, 2026, jijini Dar es Salaam, wakati wa Mkutano wa Uhakiki wa Rasimu ya Mpango wa Pili wa Kuboresha Mazingira ya Biashara na Uwekezaji (MKUMBI 2), Prof. Kitila amerejea mifano ya mafanikio ya kuunganishwa kwa taasisi, kama vile kuunganishwa kwa mamlaka za maji na vituo vya kukuza uwekezaji. Amesisitiza kuwa mfumo uliogawanyika wa taasisi ndogondogo unaunda mazingira magumu ya biashara kutokana na mgongano wa majukumu na gharama zisizo za lazima za kiutendaji. Hivyo, kuna umuhimu wa kubadilisha mtazamo wa kitaalamu kuelekea mfumo wa serikali uliounganishwa unaoupa kipaumbele ufanisi wa kitaifa badala ya kulinda maslahi ya idara moja moja zilizojitenga.
2
3
1.9K
MKULIMA
MKULIMA @saidmushitz ·
Jilinde na Kansa Kansa ni ugonjwa hatari usio na dawa kwa kutibu na kupona.Dawa zilizopo ni za kuipoza tu kwa muda. Jinsi ya kujilinda:- 1.Fanya vipimo mahususi kila baada ya mwaka ili kujua mapema na kupata tiba mapema na kupona kabisa.
11
Mustapha Muya
Mustapha Muya @mustapha11752 ·
Replying to @ikulumawasliano
@ikulumawasliano nikweli sikila mtu atafurahia amani ya jirani yake lakini na sisi tujitazame kwa kwa macho ya dhamira ya kweli kua tupo sahihi maana ukweli usio pingika utawala usio na mapenz ndani yake ndio wenye haki pia tumefika hapa tulipo leo kwa ajili ya washauri wetu 🙏
35
田口和行 Taguchi Kazuyuki
田口和行 Taguchi Kazuyuki @sevenashroom ·
Replying to @sevenashroom
古いインタビューですが、こちらとか。 gigazine.net/news/20190725-…
3分に美しさが詰まったショートアニメーション「そばへ」石井俊匡監督&音楽・牛尾憲輔さんインタビュー

ショートアニメーション「そばへ」は、丸井グループの企業理念のひとつである「インクルージョン(包摂)」をテーマに、東宝アニメーションとアニメ「宝石の国」などのアニメ制作会社のオレンジがタッグを組んで制作した、幻想的な雰囲気と美しい音楽がマッチした作品です。

From gigazine.net
29
Sputnik Afrika
Sputnik Afrika @sputnik_swahili ·
👵 Bibi wa kuchina: "Kula kidogo tu…" 🐒😂 Nyani ambaye ni boss kabisa: "Mimi ni mgeni wako, niletee vyote!" Video ya mlo usio wa kawaida imevutia mamilioni ya watazamaji mtandaonI9R
96
s=klogw
s=klogw @keithevans2685 ·
Replying to @Aruatani
@Aruatani Mnatengeneza usugu wa dawa usio na lazima, dawa haitibu wala kuzuia ugonjwa wa zinaa kama hiyo ni target pia hamna ushaidi wowote kuwa inaongeza nguvu za kiume au performance,Ni kama Mambo ya ajabu ya kuwapa kuku ARV
1
1.9K
Usio
Usio @usioinc ·
As tax refund delays impact thousands of taxpayers, conversations around paper checks vs. digital payments are more important than ever. Usio, Inc. CEO, @RealLouisHoch, sat down with @nbcbayarea to discuss what’s driving the delays and why electronic payment infrastructure plays a key role in faster, more secure disbursements. Watch the interview here: hubs.ly/Q048wvfj0
Expect delays for tax refunds sent by paper check

Financial experts say there could be a delay of several weeks if you opted to receive your tax refund by paper check.

From nbcbayarea.com
17
Gift
Gift @mrMame08 ·
Replying to @AlexSamoja
@AlexSamoja niukweli usio pingika kwasababu hapo unakuwa hujafata mtoto bali umefanya iyo mama yamtoto
1
168